Msemaji wa wizara ya mambo ya nje ya China Bw. Lu Kang amesema, mradi wa kufikisha matangazo ya televisheni kwenye vijiji elfu 10 vya Afrika umezinduliwa mwaka jana, ambao unafikisha matangazo kwenye vijiji vya nchi 25 barani humo.
Bw. Lu amesema mradi huo unalenga kuzidisha maisha ya utamaduni ya wakazi wa huko na kuhimiza mawasiliano ya utamaduni kati ya watu wa China na Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |