Mzunguko wa kwanza ya michuano ya baiskeli ya Tour de France imekamilika kwa waendesha baiskeli wazoefu kupata matokeo ya kushangaza akiwemo mshindi mara nne wa mbio hizo Chris Froome wa Uingereza kuachwa nyuma.
Mwendesha baiskeli mwingine aliyetarajiwa kufanya vizuri katika mzunguko wa kwanza ni Mcolombia Fernando Gaviria ambaye hata hivyo hakufua dafu.
Mzunguko wa pili unatazamiwa kufanyika leo ikiwa ni makala ya 105 ya mbio hizo maarufu duniani Tour de France.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |