Mamlaka ya Magufuli iliacha mauzo yake ya nje, na kuweka muswada wa kodi ya dola bilioni 190 juu ya mauzo ya nje ya dhahabu yaliyomo.
Acacia ililipa Tanzania dola milioni 80.5 kwa kodi ya mapato na mishahara mwaka 2017 kutoka miradi yake mitatu, kushuka kwa asilimia 37 kutoka dola milioni 128 kulipwa mwaka 2016.
Japo, kampuni na serikali zinaendelea kujadiliana juu ya madai ya kodi, wafanyakazi wa uchimbaji madini wamesitisha uchimbaji katika moja ya migodi yake.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |