• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Tanzania mapato ya madini ya dhahabu kushuka

    (GMT+08:00) 2018-07-09 20:24:11

    Mapato ya Tanzania kutoka kwa uchimbaji wa madini ya dhahabu mwaka jana ilishuka kwa dola milioni 186 kutoka dola milioni 214, mwaka uliopita, hii, imetokana na utawala wa John Magufuli kutoza kodi ya juu.

    Mamlaka ya Magufuli iliacha mauzo yake ya nje, na kuweka muswada wa kodi ya dola bilioni 190 juu ya mauzo ya nje ya dhahabu yaliyomo.

    Acacia ililipa Tanzania dola milioni 80.5 kwa kodi ya mapato na mishahara mwaka 2017 kutoka miradi yake mitatu, kushuka kwa asilimia 37 kutoka dola milioni 128 kulipwa mwaka 2016.

    Japo, kampuni na serikali zinaendelea kujadiliana juu ya madai ya kodi, wafanyakazi wa uchimbaji madini wamesitisha uchimbaji katika moja ya migodi yake.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako