Mkuu wa mamlaka ya kuthibiti umeme nchini humo Ziria Waako, amesema kwa kipindi cha miaka 6 iliopita mradi wa, Bujagali umekuwa ukitumia mapato kutoka kwa wateja kulipa karibu nusu ya mkopo uliotumika wa dola milioni 900.
Mkopo huo ulikuwa umetolewa na shirika la kimataifa la fedha IFC.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |