Shoprite imekuwa na maduka mawili tu nchini Uganda tangu iingie nchini humo mwaka wa 2000.
Nakumatt nayo ambayo imekuwa na maduka kadhaa katika kanda ya Afrika Mashariki, imeendelea kufunga matawi yake mengi kutokana na hasara kubwa.
Katika kipindi cha miezi 6 Shoprite imechukua majumba matatu yaliokuwa na maduka ya Nakumatt yakiwemo Acacia Mall eneo la Kamwokya, Victoria Mall mjini Entebbe na Village Mall eneo la Bugolobi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |