Hafez Ghanem ana uzoefu wa zaidi ya miaka 30 na anatarajiwa kuongoza kundi la wataalam wa benki hiyo barani Afrika ambako kuna zaidi ya miradi 600 ya dola bilioni 71.
Pia amefanya kazi kwa zaidi ya nchi 30 zikiwemo za Afrika, Ulaya, mashariki ya Katina katikati mwa Asia.
Hadi kuteuliwa kwake alikuwa makamu wa rais wa benki hiyo katika kanda ya mashariki ya kati na kaskazini mwa Afrika.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |