• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rwanda-Kijana mbunifu azalisha mvinyo kutoka kwa karoti

    (GMT+08:00) 2018-07-11 20:50:23

    Wafanyabiashara mbalimbali nchini Rwanda wamevutiwa na ubunifu wa kijana mmoja anayetengeneza mvinyo kutoka kwa mmea wa karoti.

    Ubunifu huo wa usindikiaji mvinyo kutoka kwa karoti umemfanya kijana huyo wa miaka 30,kwa jina Mark Niigeza kutoka chuo kikuu cha Adventisti Kigali Rwanda kuwa maarufu.

    Wengi wa wafanyabiashara wameahidi kumsaidia kupata soko la bidhaa yake hiyo.

    Uzalishaji wa mvinyo huo ulianza Februari mwaka huu.

    Niigeza amesema kwamba anatumia mashine maalum kutoka China pamoja na vifaa vingine vinavyomsaidia katika uzalishaji wa mvinyo huo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako