Wakizungumza mjini Hoima, wakuliwa hao wamesema walikuwa wamekopa fedha wakati wa msimu wa upanzi lakini sasa hawajapata soko lenye bei zuri kwa mahindi yao.
Afisa mkuu wa ufalme wa Bunyooro Andrew Byakutaga, amesema wakulima wengi wanahofia huenda wakapoteza mali zao kulipia mikopo hiyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |