Kuongezeka kwa siku hizo mbili kunafanya maonyesho hayo yaliyoanza Juni 28, mwaka huu kudumu kwa siku 18.
Akizungumza na waandishi wa habari, katika maonyesho hayo, Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania(Tantrade), Edwin Rutageruka ametaja sababu ya kuongeza siku za maonesho hayo kuwa ni kutokana na maombi ya wadau.
Aidha amesema sababu nyingine ni kuwapa nafasi zaidi wale ambao hawakupata fursa ya kutembelea maonesho hayo kufanya hivyo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |