Ripoti ya tume hiyo imesema kanda ya Afrika Mashariki meendelea kuwa na ukuaji wa kiuchumi wa zaidi ya asilimia 4 kwa mwaka tangu mwaka wa 1990.
Ripoti hiyo aidha imesema nchi za Afrika Mashariki na Magharibi zimefanikiwa kupunguza umaskini mkubwa kwa asilimia 23 na asilimia 12 mtawalia kati ya 1990 na 2013.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |