• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Umoja wa Ulaya wapanga kutuma polisi 10,000 kulinda mpaka wa umoja huo

    (GMT+08:00) 2018-07-13 08:58:54

    Umoja wa Ulaya unapanga kuimarisha ulinzi wa mpaka wake kwa kuunda kikosi chenye walinzi wa mpaka elfu kumi ifikapo mwaka 2020 na kikosi cha polisi wa mpakani. Kamishna wa uhamiaji wa Umoja wa Ulaya Bw. Dimitris Avramopoulos amesema hayo baada ya kukutana na mawaziri wa mambo ya ndani wa nchi wanachama wa Umoja huo nchini Austria mapema jana. Mawaziri hao wamekutana kujadili msukusuko wa wahamiaji, ambao umekuwa tatizo kubwa kwa Umoja wa Ulaya tangu ulipoanza mwaka 2015.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako