Serena Williams atapambana na Angelique Kerber wa Ujerumani kwenye fainali ya michuano ya Wimbledon kesho jumamosi katika mchezo wa mpira wa tenisi, upande wa wanawake.
Wawili hao watamenyana baada ya kushinda mechi za nusu fainali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |