Wairaq wameendelea kuandamana mjini Baghdad na katika mikoa mingine kadhaa ya kati na kusini, wakipinga ukosefu wa ajira na huduma za kimsingi za maisha, ikiwemo umeme na maji ya kunywa. Waandamanaji wameahidi kuendelea na maandamano hadi serikali ya Iraq itakaposikiliza matakwa yao. Mpaka sasa hakuna vurugu zilizoripotiwa kwenye maandamano hayo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |