Mswada wa biashara uliotolewa na waziri mkuu wa Uingereza Bibi Theresa May, ambao ni sehemu muhimu ya mpango wake wa Brexit, umepitishwa jana jioni kwenye baraza la makabwela. Ushindi huo wa Bibi May umekuja dakika chache baada ya marekebisho yanayoweza kukwamisha mpango wake kukataliwa na bunge.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |