Gor ambao ni wenyeji katika mechi ya leo, wanashika nafasi ya pili kwenye kundi D wakiwa na pointi 2 baada ya kutoka sare katika mechi mbili zilizopita, lakini Yanga iko nafasi ya nne kwa kuwa na pointi moja kutokana na matokeo ya kufungwa mechi moja na kutoka sare mechi moja.
Mechi nyingine ya kundi hili itafanyika leo mjini Kigali ambapo wenyeji Rayon Sport inayoshika nafasi ya tatu itawakaribisha USM Algiers ya Algeria ambayo inaongoza kundi hilo kwa kuwa na pointi 4.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |