Akitoa shukrani hizo kwa niaba ya rais wa Zanzibar, katibu mkuu wa wizara hiyo Omar King amesema kiwanja hicho kitasaidia kupanua michezo katika mkoa huo kwa kuwa kitatumiwa katika michezo mbalimbali ikiwemo soka, mpira wa pete, mpira wa wavu, riadha, na volleyball.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |