Wafanyakazi hao wamejifunza vigezo vya kazi mbalimbali kwenye treni na njia ya kutoa huduma kwa abiria katika kampuni ya reli ya Wuhan.
Mfanyakazi Eric amesema, "Wakenya wengi zaidi wanapanda treni, natarajia reli ya kasi itajengwa nchini kwetu, ili kurahisisha usafiri."
Mfanyakazi Sharon amesema, "Tunathamini fursa hii ya kupata mafunzo hapa China, na tutatumia ujuzi huuo nchini Kenya, ili kuwapatia watu wengi zaidi huduma bora."
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |