Mkurugenzi mkuu wa tari amesema mbegu ambazo zitazalishwa na tari na kuuza ni mazao ya uchumi mazao yaliyopewa kipao mbele kuwasaidia wakulima kuongeza mali ghafi.
Hatua hiyo ni baada ya wakulima kulalamikia mavuno duni.
Wakulima wana imani wataboresha kilimo chao kutokana na mbegu zilizofanyiwa utafiti.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |