Hatua hiyo imekuja kufuatia kipigo hicho cha aibu ugenini wakieleza kutoridhishwa na aina ya wachezaji wengi ilionao wakidai kuwa hawaendani na ukubwa wa kikosi cha Yanga.
Tangu kuondoka kwa Kocha Mzambia, George Lwandamina, Yanga imekuwa ikiendelea na rekodi mbovu kutokana na kukosa matokeo chanya badala yake kikosi kimekuwa hakifanyi vema kama zamani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |