Bao pekee la Nyigu limefungwa na Alice Kalimba dakika ya 34 ya mchezo huo.
Michuano hiyo iliyoanza jana nchini Rwanda, inashirikisha timu 5 za Afrika Mashariki. Katika mchezo wa utangulizi, timu ya taifa ya Uganda iliifunga timu ya taifa ya Kenya 1-0.
Kesho Jumamosi Tanzania itamenyana na Kenya, huku Uganda itakutana na Ethiopia. Na Jumatatu Tanzania itamenyana na Uganda, wakati Rwanda watakutana na Ethiopia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |