Hii ni mara ya kwanza kwa shilingi ya Uganda kuimarika dhidi ya Dola ya Marekani kwa mda wa miezi miwili sasa .
Mwanzo wa mwaka ,sarafu ya Uganda ilipoteza thamani kwa asilimia 8 baada ya kupanda kwa bei ya mafuta na kuporomoka kwa mfumo wa uchumi.
Wiki hii dola moja ya marekani ni shilingi 3684 .
Mwezi Juni kulingana na wataalamu wa foko la fedha ,Uganda imeweka zaidi ya shilingi bilioni 250 kwenye soko la hisa ili kuimarisha thamani yake dhidi ya fedha za kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |