Wakulima wanasema walinyunyuza dawa za wadudu kwa kahawa na kuweka mbolea kama inavyotakiwa lakini mazao msimu huu imelemewa na magonjwa tofauti na hapo awali.
Imelazimu Shirika la Utafiti wa Kilimo na Mifugo Kenya kutoa ushauri kwa wakulima kuanza kuzuia kuenea kwa ugonjwa kwa zao hilo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |