Benki ya Maendeleo ya Afrika imeahidi sh bilioni 15 kwa awamu ya pili nay a mwisho ya kuunganisha umeme ili kuhakikisha nyumba zote nchini zimeunganishwa ifikapo mwaka wa 2020.
Benki ya bara ilikuwa tayari imetoa kiasi sawa kwa awamu ya kwanza ya mradi huo, na nyumba zaidi ya 600,000 zinatarajiwa kuunganishwa.