Mwakilishi wa shirika la ushirikiano wa kimataifa la Japana JICA nchini Uganda
Fukase Yutaka, amesema wanatarajia kuanza ujenzi wa daraja hilo mwishoni mwa mwaka huu.
Mradi huo utatekelezwa kwa awamu mbili ukipitia Kibuli, Nsambya na mzunguko wa Mukwano kwenye awamu ya kwanza, huku nayo awamu ya pili ikipitia maeneo ya Kitgum , Garden City barabara ya Jinja.
JICA ilipata kandarasi ya mradi huo miaka 8 iliopita ikiwa ni mpango wa serikali wa kuondoa msongamano wa magari kwenye mji mkuu Kamapala.
Utagharimu shilingi bilioni 659 na unatarajiwa kukamilika baada ya miezi 36.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |