• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Rwanda: Rwanda yajiunga na Afrika 50

    (GMT+08:00) 2018-07-24 19:22:02
    Rwanda imejiunga rasmi na jukwaa la Africa50, ambalo liliundwa ili kuendeleza miradi ya miundo mbinu barani Afrika.

    Katibu wa kudumu kwenye wizara ya fedha Caleb Rwamuganza, akisaini uanachama wa jukwaa hilo amesema litaisaidia Rwanda kutekeleza miradi kadhaa ya miundo msingi.

    Miradi inayolengwa na Afrika 50 ni kama vile, uchukuzi na kawi ambayo inahitajika kwa asilimia 70 kati ya sasa na mwaka 2025.

    Mkurungezi mkuu wa Africa 50 Alain Ebobisse amesema jukwaa hilo linaleta pamoja washirika kwenye sekta ya uma na ile ya kibinafsi kufadhili miradi ya maendeleo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako