Kenya imejikatia tiketi hiyo baada ya kuifunga Namibia kwa mabao 3-1. Kwa mantiki hiyo, Kenya sasa itapambana na mshindi kati ya Zambia na Algeria.
Algeria inaandaa makala ya tatu ya mashindano ya chipukizi yanayojumuisha michezo mbalimbali ikiwemo riadha ambayo yatakamilika Julai 28.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |