Bingwa huyo mara 23 wa taji la Grand Slam ametoa madai hayo katika ujumbe wa twitter baada ya maafisa wa kukabiliana na dawa za kusisimua misuli kumtembelea.
Mchezaji huyo raia wa Marekani ameonyesha kukerwa kuhusu kiwango cha vipimo anavyofanyiwa mapema mwezi huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |