• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Kenya:IMF yafanya kikao cha mjadala wa mkopo wa bilioni 150

    (GMT+08:00) 2018-07-26 19:40:26
    Kikosi cha Shirika la kimataifa la fedha IMF kimewasili nchini Kenya kufanya majadiliano na wizara ya fedha kuhusu mkopo wa shilingi bilioni 150 .

    Waziri wa fedha Henry Rotich amethibitisha ziara hiyo na kusisitiza watatoa ripoti rasmi baada ya wiki 2 kuhusu mkataba baina ya pande zote mbili.

    IMF ilipitisha ombi la Kenya kutaka kuongezwa miezi 6 kwa maendeleo ya miradi ya uchumi na matumizi ya fedha.

    Idara husika zimekubali kuwajibika katika utekelezaji miradi na kupunguza matumizi ya fedha ya serikali.

    Jan Mikkelsen ameelezea vyombo vya habari kwamba watatoa ripoti ya maelezo yote baada ya kuasisi mipango hiyo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako