Katika mechi ya kwanza iliyofanyika Julai 20, Patriots waliwashinda REG kwa alama 63-58, lakini REG walisawazisha matokeo hayo kwenye mechi ya pili iliyofanyika ijumaa iliyopita walipopata ushindi wa alama 73-65.
Timu itakayoshinda mechi nyingi katika saba zitakazochezwa, ndiyo itatwaa ubingwa wa ligi hiyo, na timu ya Patriots ndiyo mabingwa watetezi wa ligi hiyo baada ya kuwafunga hao hao REG katika mechi za fainali msimu uliopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |