Issa Bigirimana na kipa Emery Mvuyekure walisimamishwa Julai 21 kwa kukataa kucheza mechi ya kwanza ya robo fainali ya kombe la amani dhidi ya Polisi FC, kicukiro. Katika mchezo huo, APR na Polisi walitoka sare ya bila kufungana.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |