Kupitia Afisa habari wa klabu hiyo Hajji Sunday Manara, amesema, Simba itachuana na timu hiyo kongwe barani Afrika ambayo inashiriki ligi kuu Ghana kwa ajili ya kutambulisha kikosi walichokisajili msimu huu.
Katika msimamo wa ligi kuu Ghana, Kotoko wamecheza mechi 15 wakiwa kwenye nafasi ya 4 huku wakijikusanyia alama 24 na Ashanti Gold iliyo nafasi ya kwanza ina alama 27 ikiwa imecheza michezo 15 pia.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |