Bei za mafuta zilishuka kidogo katika wiki iliyopita na kushuhudia hasara ya nne katika wiki tano zilizopita. Hali hii imetokana na ongezeko la uzalishaji wa mafuta wa Shirika la Nchi Zinazosafirisha Mafuta kwa Wingi Zaidi OPEC na Russia, ambazo zimetangaza kuongeza uzalishaji wa mafuta kwa mapipa laki 3 na laki 1.5 mtawalia kila siku mwezi uliopita.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |