Wawekezaji wa sekta ya ukaribishaji wageni mkoa wa pwani, wamefurahishwa na tangazo la ndege ndogo ya bajeti ya chini ambayo itatoa huduma yake kuenda Mombasa, na kuleta wateja karibu 4,000 kwa kaunti ya Mombasa, kati mwaka 2018 na mapema 2019.
Uzinduzi wa Fly Tristar yenye gharama ya chini kuenda Mombasa inatarajiwa kupiga jeki a sekta ya utalii ya Pwani
Ndege hiyo, kuenda Mombasa itaongoza kwa ongezeko kubwa la wageni wa pwani.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |