• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Upungufu wa nishati wasababisha hatari kwa watu wa Gaza

    (GMT+08:00) 2018-08-08 10:16:32

    Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Uratibu wa Masuala ya Kibinadamu OCHA imesema nishati za dharura zinazotumiwa kwa ajili ya vifaa vya matibabu na maji katika ukanda wa Gaza zinakaribia kwisha na kufanya watu kuwa na umeme kwa muda usiozidi saa 4 kila siku. Ofisi hiyo imekadiria kuwa lita elfu 60 za nishati za dharura zinapaswa kusambazwa ili kuhakikisha vifaa hivyo vinatoa huduma katika siku nne zijazo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako