Klabu hiyo imejiwekea utaratibu huo kila Agosti 8, ikiwa ni siku maalum kwa klabu hiyo kutambulisha jezi mpya watakazotumia wachezaji kwa ajili ya msimu mpya wa ligi, kutambulisha wachezaji wapya waliowasajili na vilevile kutoa misaada kwa jamii.
Katika mechi ya kukamilisha siku hiyo maalum, Simba imekutana na Asante Kotoko ya Ghana, timu hizo zimetoka sare ya kufungana goli 1-1.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |