Bingwa huyo wa mataji makubwa 23 amesema hatashiriki kwa sababu za kibinafsi.
Serena mwenye umri wa miaka 36, alijifungua mwaka jana na amekuwa akirejea katika mchezo huu na mwezi Julai alifika katika fainali ya kuwania taji la Wimbledon nchini Uingereza.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |