Ada ya Euro milioni 71 kwa golikipa Kepa Arrizabalaga ktoka klabu ya Athletic Bilbao ya Hispania, usajili huo umekuja baada ya Chelsea kuondokewa na kipa wake Thibaut Courtois aliyejiunga na klabu ya Real Madrid ya Hispania kwa ada ya Euro milioni 35.
Liverpool ilimsajili kipa Allison kutoka AS Roma kwa ada ya Euro milioni 66.
Manchester United inahaha kusaka wachezaji nyota kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili na ripoti za hivi punde zinasema inazungumza na beki wa Atletico Madrid Diego Godin ili kumpeleka Old Trafford.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |