Waziri wa afya wa nchi hiyo Bw. Oly Ilunga amesema mlipuko wa kumi wa homa ya Ebola umetangazwa, na virusi vya Ebola vimeenea kwenye maeneo ya misitu ya ikweta nchini humo.
Ugonjwa huo ambao, Shirika la Afya Duniani (WHO) lilitangaza kumalizika nchini humo mwezi uliopita, umerejea tena na kesi ya kwanza kuthibitishwa mjini Beni Agosti Mosi.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |