Vikosi vya usalama vya Somalia vimemwua na kumnyang'anya silaha mpiganaji mmoja wa al-Shabaab, aliyemuua raia katika soko kubwa la Suk-ba'ad, mjini Mogadishu. Kundi hilo la kigaidi lenye uhusiano na al-Qaida halijatoa kauli kuhusu kuuawa kwa mpiganaji wake na vikosi vya serikali.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |