Serikali imeanza kutoza kodi uagizaji wa mitungi ya gesi.
Kupitia hatua hiyo bei ya gesi ya kupikia bei yake inatarajiwa kupanda juu.
Hii inakuja karibu miezi miwili baada ya waziri wa fedha, Henry Rotich, kuweka kodi kwa mafuta ya taa na mafuta ya petrol.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |