Rais wa Zanzibar Ali Mohammed Shein amesema serikali yake inalenga kuvutia watalii 500,000 kila mwaka ifikapo mwaka 2020 kutoka Indonesia na nchi zengine za mashariki mwa Asia.
Kwa idadi ya watu milioni moja, uchumi wa Zanzibar hutegemea hasa utalii na biashara ya kimataifa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |