Mamlaka ya Mapato ya Uganda (URA) imeweka kifaa cha kuangalia mizigo katika mipaka ya Busia na Malaba ili kusaidia kupunguza kuhepa kodi.
Mamlaka ya mapato inalenga kufikia sh trilioni 16.4 ya Uganda iliyotangazwa mwezi Juni na Waziri wa Fedha.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |