Nayo timu ya Senegal ilifanikiwa kushinda nafasi ya tatu baada ya kuwashinda wenyeji Rwanda kwa alama 39-37 kwenye mechi ya kutafuta mshindi wa tatu.
Kwa kutwaa ubingwa huo, Nigeria sasa wamefuzu mashindano ya dunia yatakayofanyika baadaye mwaka huu.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |