Hiyo ni faida ya kipindi cha miezi sita ya mwaka 2018 kilichokamilika Juni 2018.
Mwaka jana benki hiyo ilifunga matawi yake 12 na kufuta baadhi ya wafanyakazi ili kupunguza gharama.
Kufuatia hatua hiyo benki hiyo ilipunguza kwa asilimia 22 gharama zake za oparesheni.
Sasa imesalia na matawi 30 17 katika mji mkuu Nairobi na mengine katika maneo mbalimbali nchini humo.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |