Baraza la mawaziri ncini humo limeidhinisha ushuru wa dola $0.03 kila siku kwa huduma za kupiga simu za intaneti.
Waziri wa Uchukuzi na Mawasiliano Brian Mushimba amesema serikali imetambua kuwa inapoteza ushuru mkubwa kupitia kwa huduma hizo.
Zambiaina kampuni tatu za huduma zamawasiliano ambazo ni Zamtel, Bharti Airtel na MTN.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |