Kwa upande wa bara la Afrika, Tunisia inaongoza ikiwa nafasi ya 24, sawa na Senegal ambayo imepanda kwa nafasi tatu, zikifuatiwa na DRC iliyo nafasi ya 37, Ghana nafasi ya 45, Morocco nafasi ya 46, Cameroon nafasi ya 47 na Nigeria ikiwa nafasi ya 49 baada ya kushuka kwa nafasi moja.
Na Afrika Mashariki inaongozwa na Uganda ambayo imebaki nafasi ya 82 ikifuatiwa na Kenya nafasi ya 112, Rwanda nafasi ya 136, Tanzania nafasi ya 140, Burundi nafasi ya 148 na Sudan Kusini ikiwa nafasi ya 156.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |