Mshindi huyo mara nane wa medali ya dhahabu ya Olympic katika mchezo wa riadha, anaendelea kujifua kwa nguvu zote akiwa na Mariners na Agosti 31 atashuka dimbani kutupa karata yake ya kwanza kusaka tiketi ya kucheza soka la kulipwa.
© China Radio International.CRI. All Rights Reserved. 16A Shijingshan Road, Beijing, China. 100040 |