• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Benki ya EXIM ya China yasaidia ujenzi wa miundo mbinu barani Afrika

    (GMT+08:00) 2018-08-31 08:59:58
    Naibu mkuu wa benki ya EXIM ya China Bw. Xie Ping amesema, mambo ya benki hiyo barani Afrika yatazingatia zaidi ujenzi wa miundo mbinu, viwanda na maendeleo ya nishati na rasilimali na kuhimiza ujenzi wa kuboresha maisha ya jamii.

    Bw. Xie amesema, asilimia 80 ya mikopo ya benki hiyo barani Afrika ni kwa ajili ya ujenzi wa miundo mbinu, ambao utaboresha mazingira ya uwekazaji wa nchi hizo, kuzisaidia kuongeza uwezo wa uzalishaji na kuongeza nguvu ya maendeleo ya uchumi.

    Habari zinasema, hadi kufikia mwezi wa Juni mwaka huu, mambo ya Afrika ya benki hiyo yamehusisha sekta za uchukuzi, umeme, utengenezaji bidhaa, habari, elimu, afya katika nchi 45 za Afrika.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako