• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • Mafanikio makubwa yapatikana katika mipango 10 ya ushirikiano kati ya China na Afrika

    (GMT+08:00) 2018-09-03 17:56:48

    Tangu kufanyika kwa mkutano wa kilele wa Baraza la Ushirikiano kati ya China na Afrika mwaka 2015, mjini Johannesburg, China imetekeleza kikamilifu mipango kumi ya ushirikiano kati yake na Afrika. Pia imetimiza ahadi yake ya kutoa msaada wenye thamani ya dola za Marekani bilioni 60 kwa Afrika. Licha ya hayo, baadhi ya ujenzi wa reli, barabara, miundo mbinu na maeneo ya biashara umekamilika na mwingine bado unaendelea. Aidha, ushirikiano kati ya pande hizo mbili katika sekta za sayansi, elimu, utamaduni, afya, kuondoa umaskini na kuleta manufaa kwa watu bado unaendelea.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako