• Idhaa ya Kiswahili
  • Uchumi
  • Michezo
  • Facebook
  • ChinaABC
  • Sayansi
  • Afya
  • SOKA: Makocha wataka mabadiliko ya sheria UEFA

    (GMT+08:00) 2018-09-06 09:19:15

    Makocha wa timu kubwa barani Ulaya wamekitaka chama cha mpira barani humo (UEFA) kufanya mabadiliko ya kanuni ya faida ya magoli ya ugenini katika michuano ya ligi ya Ulaya (EUROPA LEAGUE).

    Makocha hao pia wamependekeza msimu wa usajili uhitimishwe kwa wakati mmoja katika ligi zote kubwa za Ulaya.

    Kanuni ya faida ya goli la ugenini ilianzishwa mwaka 1965 kama mbadala wa kurusha sarafu ama kuandaa mechi ya marudiano katika uwanja huru (usio wa timu yeyeote shindani) pale ambapo matokeo ya mechi mbili za timu zinazoshindana yanapokuwa sare.

    Pia makocha hao wamependekeza kuwa dirisha la usajili limalizike kwa wakati mmoja katika ligi zote kubwa barani humo.

    Webradio
    Sauti
    6:00-7:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 1
    12:00-13:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 2
    20:00-22:00 (Afrika Mashariki)
    • FM 3A
    • FM 3B
    Maoni yako